Nairobi News

ChillaxWhat's Hot

How Mercy Masika led Kenyan celebrities in supporting Tanzanian actress Muna Love


Tanzanian actress Muna Love who recently lost her son as he underwent treatment in Nairobi has thanked Kenyan gospel artistes for supporting her.

Muna, in a press conference, expressed disappointment at Tanzanians celebrities who she feels left her to the mercies of Kenyans.

The actress narrated how after her son was referred to Aga Khan’s Nairobi branch from the Dar es Salaam, she was received by Mercy Masika and her husband David who guided her in seeking treatment for her late son Patrick.

“Tulipofika Kenya tulipokelewa na Joel Lwaga aliyekuwa kule na events zake alikuja pamoja na Mercy Masika pamoja na mume wake David wapotupokea tukafika kwao…Mercy akawa ameniunganisha na Daktari wa watoto nchini Kenya tukaenda kwenye hospitali ya watoto Kenya. Walivyomcheki mtoto ikabidi wameniunganisha na daktari bingwa. Nilipofika kule gharama zilikuwa kubwa na nilikuwa situmii bima ikabidi nimwambie Mercy na mume wake wanisaidie. Akanitaftia huyo daktari bingwa Dr Bore tukakutana naye akatupa price za hospitali zote na katika bei nikawaambia wanipe hio Nairobi West ambayo walisema iko pia vizuri na nitakisi. Tulipofika pale Patrick akawa amechange tukiwa kwa Dr ikabidi ametutuma hospitalini tukalazwe ilia je baadaye kufanya upasuaji. Tulipofika pale Patrick akabadilika aingia comma na wakamfanyia huduma ya kwanza kasha wakapandisha ICU. Wakasema itabidi pesa iwekwe ili matibabu yaendelee ikawa sasa nilikuwa sijui kuwa kule hakuna benki ya CRDB Joel akawapigia kina Mercy na kumuomba mumewe aniazime ile hela nitamrudishia wakaweka pesa mtoto akaanza matibabu,” said Muna.

The actress went on to detail how her son failed to wake up from the comma and doctors later found that his brain had died. The young boy died four days in ICU.

“Baada ya kupata taarifa kuwa mtoto amefariki, Mercy pamoja ma mume wake ikabidi washughulikie mwili…Nashukuru pia wazazi wa Mercy na Mercy pamoja na mume wake walishugulikia wakanitafutia uhifadhi wa mwili wa mtoto. Wananchi wa kule Kenya wakiwa na akina DJ MO, Evelyne Wanjiru na wengine wengi walichanga na wakafikisha michango yao kwa Mercy naye na mmewe wakajitoa tukaenda kutafuta kampuni ya Lala Salama ambayo ilipewa jukumu la kuitoa maiti Nairobi West Hospital kuipeleka katika kampuni ya Lala Salama. Tukakubaliana kila kitu ikiwemo jeneza na kuitoa maiti Kenya hadi utakavyosafirishwa huku Tanzania. Tulipomaliza tukakata tiketi ikawa tutangulie kasha mumewe Mercy aingie jioni na mwili,” said Muna.

She thanked Kenyan celebritiesand castigated Tanzanians for making her grieving period harder by spreading false news about her son’s paternity.

Young Patrick was buried on July 7 at Kinondoni cemetery.